MTV Base yatoa orodha ya rappers 10 wakali Bongo 2016

microphone
Kituo cha runinga cha MTV Base kimeyataja majina ya wasanii kumi wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania wanaofanya vizuri kwa sasa nchini.
Namba moja ya orodha hiyo imeshikiliwa na rapper Fareed Kubanda aka Fid Q huku kundi la Weusi likifanikiwa kuingiza wasanii watatu kwenye ordha hiyo. Tazama orodha kamili hapa chini.

1)Fid Q
2)Joh Makini
3)AY
4)Mwana FA
5)ROMA
6)Mr. Blue
7)Nick wa Pili
8)G Nako
9)Prof Jay
10)Chindo Man
Share on Google Plus

About tanzania gospel music

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment