
Miongoni mwa vitu alivyovizungumzia JPM ni ishu ya bomoabomoa kwenye hifadhi ya barabara, kuipongeza Clouds kwa kurusha live DAR MPYA pamoja na kumpongeza Paul Makonda kwa kumuhakikishia anamuunga mkono kwa 100%, bonyeza play hapa chini kumsikiliza Rais Magufuli mwenyewe.
0 comments:
Post a Comment