
Kiswahili kitaungana na Kinyarwanda, Kiingereza na Kifaransa, kama lugha ya nne rasmi ya nchi hiyo. Kwa sasa lugha hiyo itatumika kwenye shughuli za uongozi na kitaonekana kwenye baadhi ya nyaraka za kiofisi.
Lugha hiyo pia itaingia kwenye mitaala ya elimu.
Bofya hapa kusoma taarifa hiyo kwa kina.
0 comments:
Post a Comment